Monday 16 July 2007
Shule ya Mweka na Magogo ya Kuni
Hapa ukileta fimbo badala ya kuni itakuchapa yenyewe...Ila tuwe waangalifu kukata miti ovyo kwa ajili ya kuni ni uharibifu wa mazingira ambao utaathiri vizazi vyetu na vijavyo..Panda Mti kwanza halafu subiri ukue ndipo Ukate Tawi na sio mti mzima.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment