Monday 23 July 2007
Chini ya Mti wa Elimu Sudan
Sudani ya Kusini nako pia Madarasa chini ya mti ndio vituo vya elimu. Ukizingatia Utajiri wa nchi utokanao na mafuta, elimu chini ya mti ni sawa na usahaulifu wa viongozi wa nchi dhidi ya wananchi wake.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment