Tuesday 24 July 2007

Msoto Wa Ukraine

Hivi hawa wanafunzi wa Ukraine Sakata lao liliishia vipi maana tatizo la wabongo ni kuchangamkia wakati Ugali Ungalimoto Ukipoa kila mtu shwari. Hivi hawa Mabraza zetu waliishia wapi, mwenye taarifa atupe..Kama bado wako kwenye Msoto nawaombea Kila La heri wavumilie Maisha si raha siku zote..hata Simba hulala njaa siku nyengine..

No comments: