Saturday 20 December 2008

wacha tu tule pozi


Ni kawaida kwa mtu yeyote baada ya kazi ngumu au shughuli yeyote ni lazima apate angalau muda wa nusu saa au dakika 15 apumzike hii yote ni kwa ajili ya kuweka mambo sawa na kuipumzisha akili baada ya ya kufikiria kwa muda mrefu .huku matumbo yetu yakiwa yana joto kwa kusubiri matokeo ya form 4 ambayo kwa hakika siwezi kusema ni kwa nini hasa kwa nchi yetu kama hii ya tanzania mitihani inakuwa na matatizo kama yanayoendelea kujitokeza miaka hii ya karibuni.Naamini suala hili ni wazi kuwa wizara husika ndiyo ishugulikie makini

No comments: